Pages

KWA MAWASILIANO ZAIDI- Email ranyikwa@yahoo.com au +255 713 257 793.

Friday, November 14, 2008

Our teacher, Mr Peik

Jamani hapa ndio tupo darasani, darasa limekolea kweli kweli, aliyesimama Mr Peik, mwenye nguo ya Orange ni Nancy Mwendamseke, yeye ni Head wa Department ya Mass Communication, Tumaini University hapa Dar es Salaam, mwenye nguo ya Kijani ni mimi mwenyewe Ratifa Baranyikwa.

2 comments:

abraham makinda said...

oyaa! mambo yako vipi? Unajikumbushia mambo ya Peik au ndo ushasahau? Mi ninayakumbuka ila sometimes muda unabana na hapa kwetu 'net' za uzushi uzushi, ila poa.

Unaniambiaje kuhusu sakata la walimu na serikali? Iko fair au mizinguo.

By ABRAHAM

abraham makinda said...

HI!,
AMA KWELI WE NI MVIVU SANA WA KUFUNGUA BLOG, NIMEKUCHEKI, NI KARAIZE ISHU, LAKINI DU! BATI LA NGUVU MTU WANGU, EMBU NI TEL MASITUATION HUKO, NIAJE?