Pages

KWA MAWASILIANO ZAIDI- Email ranyikwa@yahoo.com au +255 713 257 793.

Monday, October 22, 2012

VIONGOZI WA UAMSHO WAFIKISHWA MAHAKAMANI


Viongozi wa Uamsho wafikishwa Mahakamani Zanzibar
Kufuatia vurugu za siku nne mfululizo huko Zanzibar, hii leo Sheikh Farid pamoja na viongozi wenzake wanne wa kundi la uamsho wamefikishwa mahakamani kujibu mashataka ya kusababisha vurugu.

No comments: